Envaya

Aasi yetu ya Epa ukimwi kwa kipindi cha June hadi July itakuwa inaendesha mafunzo ya awereness kwa makungwi na mangariba na manyakanga wa kata za Sululu, Mbonde na Namajani. Hiii ni kutokana na hitaji hilo katika kipindi hiki ambapo shughuli za unyago na jando ndiyo msimu wake. Jumla ya washiriki 33 wanatarajiwa kupatiwa mafunzo hayo na nyenzo za kuwasaidia.

21 Kamena, 2013
« Inyuma Ahakurikira »

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.