Envaya

ELIMISHA

FESTO, HAMASISHA UTALII WA ASILI UKANDA WA KUSINI

FESTO, HAMASISHA UTALII WA ASILI UKANDA WA KUSINI

MKUU WA MKOA WA MBEYA BWANA ABBAS KANDORO AMESEMA KUWA JITIHADA ZA KUKUZA UTALII KATIKA UKANDA WA KUSINI MWA TANZANIA ZINAWEZA KUFIKIWA IWAPO ITAUNDWA KAMATI MAALUM AMBAYO ITAONGOZA NA KUAINISHA MAENEO YENYE VIVUTIO AMBAVYO VITAHAMASISHA UJIO WA WAGENI WA NDANI NA NJE YA NCHI. Tujiunge na Festo Sikagonamo kwa taarifa zaidi.
Views: 1
0 ratings
Time: 02:33 More in Nonprofits & Activism
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.