Baadhi ya wanafunzi ya sekondari ya Bismack iliyopo jijini Mwanza wakisikiliza semina ya afya na michezo iliyo fanyika shuleni kwao....mbele ni Kiongozi wa club na Mwanafunzi mwenzao akiwasomea baadhi ya kanuni za afya...
kiongozi wa Dhulu sports club (aliyeshika bahasha) akiwa na wanafunzi wa Mlimani Secondary Mwanza baada ya semina fupi ya afya juu ya dawa za kulevya na ukimwi waliyo ifanya hapo shuleni....
Katika pozi Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Bugarika iliyopo jijini Mwanza wakitafakari baada ya kupata semina ya Afya na michezo iliyotolewa na viongozi wa Dhulu Sports Club....
Mwenyekiti wa Dhulu Sports Club akiwa shule ya Mwanza Sekondari jijini Mwanza akitoa elimu ya michezo na madawa ya kulevya....
Kushoto wa kwanza na kulia wa kwanza ni mwenyekiti(HABIBU HASSAN) na katibu (DONALD) wa Dhulu Sports Club wakiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya mkolani iliyopo jijini Mwanza wakiwa wamemaliza semina ya michezo na afya shuleni hapo....
Viongozi wa Dhulu Sports Club wakitoa semina ya michezo na afya mbele ya wanafunzi wa sekondari ya Buhongwa iliyopo jijini mwanza...
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Islamiya wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Dhulu Sports Club....