Envaya
Good Governance, Lobbying and Advocacy, Research, Environment, Policy Analysis, Capacity Building, Civic and Voter education, Campaign against corruption, Public Expenditure Trucking, Reproductive Health and HIV/AIDS
Mabadiliko Mapya
Development Association for Tanzanians imehariri ukurasa wa Timu.
Abraham Salim – Chairperson & PRO – Ally Mkomwa – Board Member – Aurelia David Joseph – Executive Director – Shukuru Ngweshani ... Soma zaidi
23 Julai, 2010
Development Association for Tanzanians imeongeza Habari.
Development Association for Tanzanians inataraji kuzindua rasmi ofisi yake mpya ya Kanda ya Pwani itakayokuwa Mkuranga. Uzinduzi huo unatarajia kufanyika mapema mwezi June.
22 Aprili, 2010
Development Association for Tanzanians imeongeza Habari.
Development Association for Tanzanians inataraji kushiriki katika ulingo wa maendeleo mkoani Pwani utakaofanyika tarehe 5/05/2010. Mada kuu ya ulingo huo ni KUJADILI RASIMU YA MKUKUTA II
22 Aprili, 2010
Development Association for Tanzanians imejiunga na Envaya.
20 Aprili, 2010
Sekta
Sehemu
Kisarawe, Pwani, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu