Envaya

FCS Narrative Report

Utangulizi

Chama cha Mazingira na Maendeleo kwa Umma Tanzania
CMMUT
Uboreshaji wa Utunzaji wa Misitu na Vyanzo vya Maji katika Milima ya Uluguru
FCS/MG/3/091
Tarehe: August-OctobaKipindi cha Robo mwaka: NNE
ELIBARIKI KWEKA

Maelezo ya Mradi

Sera
Kuhamasisha wananchi ili kuinua uelewa wao juu ya kuhifadhi misitu na vyanzo vya maji ni maswala ya Sera.Mradi huu ulilenga kutoa mafunzo kwa wananchi ili wawe na uelewa kwamba kuhifadhi misitu kutawaondoa katika umaskini uliotopea.
MkoaWilayaKataVijijiIdadi ya Wanufaika
MorogoroMvomeroMlali na DomaDoma ,Kihondo,Msongozi,Mkata,Melela,Mlali, Peko,Manza,Homboza,Kiperaza,5770
 Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wanawake472755
Wanaume733015
Jumla1205770

Shughuli na Matokeo ya Mradi

Jamii ya watu wa kata za Doma na Mlali sasa wanafahamu umuhimu wa kuhifadhi na utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji.`
Ufuatiliaji na tathmini ya matokeo ya mafunzo na midahalo iliyofanyika.
Waratibu wawili kutoka CMMUT wakifuatana na afisa misitu wa wilaya ya Mvomero walitembelea vijiji 9 vya Tarafa ya Mlali ili kufuatilia matokeo ya mafunzo yaliyokwisha fayika.
Shughuli zimefanyika kwa wakati wake
Tshs. 3,800,000/=

Mafanikio au Matunda ya Mradi

Ufuatiliaji umefanyika vizuri na kwa ushirikiano.Kwa kuwa tulikuwa tunataka kuona matokeo ya mafunzo,ni kweli kuna mafanikio ya kutosha sana,maana wanavijiji walianzisha vikundi vya mazingira na wakaanzisha vitalu vya miche ambayo kwa sasa ipo tayari kupandwa shambani.
Hakukuwa na mabadiliko
Mabadiliko yatakayotokana na upandaji wa miti tutaanza kuyaona miezi minne ijayo
N/A

Mambo Mliyojifunza

Maelezo
Katika kuutembelea viijiji,tumeona kuwa wananchi wako tayari kama wakielekezwa na kuwezeshwa katika utekalezaji wa shughuli yeyote ya maendeleo

Changamoto

ChangamotoNamna mlivyokabiliana nazo
Hakukuwa na changamota wakati huu wa ufuatiliaji

Mahusiano

WadauNamna mlivyoshirikiana nayo
Katika utekelezaji wa shghuli ya ufuatiliaji,mara zote tumeshirikiana na wataalam wa idara ya misitu ya wilaya ya Mvomero Tulitembea wote kama ilivyopangwa na ukweli Afisa misitu yeye ndiye alikuwa na jukumu la kuelezea mambo ya utaalam katika utunzaji wa vitalu vya miche na jinsi ya kuipanda miche hii mashambani

Mipango ya Baadae

Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Shughuli za utekelezaji wa mradi kama ilivokuwa imepangwa itakuwa imekamilika.Kilichobaki ni kuandika taarifa ya mwisho wa mradi husika.

Walengwa Waliofikiwa

    Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wajane na WaganeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wanaoishi na VVU/UKIMWIWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WazeeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watoto YatimaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WatotoWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wenye UlemavuWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
VijanaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wengineWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Kupata takwimu hizi sasa hivi siyo rahisi mpaka wakati wa sensa au tupange kuzipata takwimu hizi kwa kupitia mradi maalum

Matukio Mliyoyahudhuria

Aina ya TukioLiniMambo uliyojifunzaHatua zilizochukuliwa
Mafunzo ya Usimamizi wa RuzukuFebruari,2010Jinsi ya kujaza fomu ya maombi kwa usahihi na usimamizi wa mradi husika na fedha.Mkataba ulisainiwa na kupata ruzuku

Viambatanisho

« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.