Kuna changamoto kubwa katika kundi letu la Viziwi kutokutambulika hata Vijijini kutokujua hasa umuhimu wa watoto Viziwi kwenda kupata elimu ya awali,msingi na sekondari na hata Ufundi.Na changamoto zingine Viziwi wanatakiwa kuwezeshwa ili wafikie malengo yao ya milenia mpya
Viziwi wengi tuko nyuma kimaendeleo lisha ya kuwa na elimu nzuri,fani ya ufundi bado hatujaona mafanikio ama maendeleo kutokana na Vikwazo tunazopata kwenye Taasisi nyingi wanaona Viziwi hawana jinsi yoyote ya kufanya kutokana na Ulemavu wao,Ulemavu sio kikwazo cha kushindwa kufanya kazi bali wawezeshwe wataweza.
22 Desemba, 2011
Maoni (2)