Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Kuna changamoto kubwa katika kundi letu la Viziwi kutokutambulika hata Vijijini kutokujua hasa umuhimu wa watoto Viziwi kwenda kupata elimu ya awali,msingi na sekondari na hata Ufundi.Na changamoto zingine Viziwi wanatakiwa kuwezeshwa ili wafikie malengo yao ya milenia mpyaViziwi wengi tuko nyuma kimaendeleo lisha ya kuwa na elimu nzuri,fani ya ufundi bado hatujaona mafanikio ama maendeleo kutokana na Vikwazo tunazopata kwenye Taasisi nyingi wanaona Viziwi hawana jinsi yoyote ya kufanya kutokana na Ulemavu wao,Ulemavu sio kikwazo cha kushindwa kufanya kazi bali wawezeshwe wataweza.

December 22, 2011
Next »

Comments (2)

Master Mbisso (DSM) said:
WANAKWETU NIAJE? NIMEONA MAMBO YENU. ILA FANYENI KILA LIWEZEKANALO KUBORESHA HII WEB
December 9, 2012
Juvenile .Steven.michael (Mosh) said:
Vizuri sana.me Naitwa JUVENILE nipo mosh na pia ninauwezo wa kuwatafsiria viziw alama na vitendo vyao vizur kama kuwatafsiria nyimbo na pia matangazo na semina.naomben msaada wa kupata nafasi ya ukalimani naamin naweza.number zangu ni 0655249120
August 24, 2017

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.