Envaya

large.jpg

Moja ya mafunzo ya lugha ya alama yanayoendelea kutolewa na chavita dom kwa wanachuo wa chuo kikuu udom hii ni moja ya program inayoendeshwa na chavita dom. pichani ni mmoja wa walimu wa lugha hiyo bwana yusf mloli ambae ni mwnyekiti chavita mkoa wa dodoma.

31 Mei, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.