Envaya
THE NATIONAL MUSLIM COUNCIL OF TANZANIA {BAKWATA}
Habari
Waumini wakiwa katika harakati za ujenzi 2
2 Mei, 2013
« Iliyotangulia
Ifuatayo »
Maoni (5)
Mzee Mrisho a.k.a barozi wa mtaa mwema alisema:
Mimi nawaombea kwa mungu awape afya na umri mrefu, ila nashauri muweke na ukurasa wa mafunzo tupate elimu ya dini na nyinginezo kwa faida ya wote
13 Mei, 2013
Bi Zainab (Mugumu) alisema:
Ni kama mujiza sisi waislam wa serengeti leo tunatoka vichakan hadi nchi za nje, mungu awalipe kila la kheri viongozi wetu.
13 Mei, 2013
Abubakary (Mugumu) alisema:
BARAKALLAHU FIIKUM katika hayo mliyoyakusudia kuyatenda
14 Mei, 2013
Sheikh {W} Serengeti (Mugumu) alisema:
ALLAHUMMA AMIN,
Bw Abubakar ahsante kwa dua yako njema.
16 Mei, 2013
Sheikh {W} Serengeti (Mugumu) alisema:
Inapendeza kupata maoni kutoka kwenu wazee wetu.
Mzee Mrisho, wazo lako ni la msingi litafanyiwa kazi.
16 Mei, 2013
Ongeza maoni
Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.
Maoni (5)
Bw Abubakar ahsante kwa dua yako njema.
Mzee Mrisho, wazo lako ni la msingi litafanyiwa kazi.