Envaya

large.jpg

Waumini wakiwa katika harakati za ujenzi 2

May 2, 2013
« Previous Next »

Comments (5)

Mzee Mrisho a.k.a barozi wa mtaa mwema said:
Mimi nawaombea kwa mungu awape afya na umri mrefu, ila nashauri muweke na ukurasa wa mafunzo tupate elimu ya dini na nyinginezo kwa faida ya wote
May 13, 2013
Bi Zainab (Mugumu) said:
Ni kama mujiza sisi waislam wa serengeti leo tunatoka vichakan hadi nchi za nje, mungu awalipe kila la kheri viongozi wetu.
May 13, 2013
Abubakary (Mugumu) said:
BARAKALLAHU FIIKUM katika hayo mliyoyakusudia kuyatenda
May 14, 2013
Sheikh {W} Serengeti (Mugumu) said:
ALLAHUMMA AMIN,
Bw Abubakar ahsante kwa dua yako njema.
May 16, 2013
Sheikh {W} Serengeti (Mugumu) said:
Inapendeza kupata maoni kutoka kwenu wazee wetu.
Mzee Mrisho, wazo lako ni la msingi litafanyiwa kazi.
May 16, 2013

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.