Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

large.jpg

Hii ni nyumba iliyojengwa na Waumini kwa ajili ya nduguyetu wenye Ulemavu wa macho Bwana OMARY Mkazi wa kijiji cha Burunga

2 Gicurasi, 2013
Ahakurikira »

Ibitekerezo (4)

shabani d simbi (natta serengeti) bavuzeko
assalam aleykum allah awafanyie wepesi kwa kupanua wigo kufungua akaunt maoni yangu naomba msambaze walim wa madras vijijini kwa sababu uislam unafifia
13 Gicurasi, 2013
(Umuntu utazwi) (Mugumu Serengeti) bavuzeko
Mimi naomba muwe masomo ya dini tunawauliza maswali mnatujibu kupitia hapo tovut yenu km wanavofanya wengine.
15 Gicurasi, 2013
Sheikh {W} Serengeti (Mugumu) bavuzeko
Bwana Shaban, tutajitahidi tufanye kama unavyoshauri.
ahsante endelea kutupatia mawazo kila upatapo jambo la kutukumbusha.
16 Gicurasi, 2013
ust abuba (mwanza) bavuzeko
allah awajaze khel inshalla
29 Mutarama, 2014

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.