Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Hii ni nyumba iliyojengwa na Waumini kwa ajili ya nduguyetu wenye Ulemavu wa macho Bwana OMARY Mkazi wa kijiji cha Burunga

May 2, 2013
Next »

Comments (4)

shabani d simbi (natta serengeti) said:
assalam aleykum allah awafanyie wepesi kwa kupanua wigo kufungua akaunt maoni yangu naomba msambaze walim wa madras vijijini kwa sababu uislam unafifia
May 13, 2013
(Anonymous) (Mugumu Serengeti) said:
Mimi naomba muwe masomo ya dini tunawauliza maswali mnatujibu kupitia hapo tovut yenu km wanavofanya wengine.
May 15, 2013
Sheikh {W} Serengeti (Mugumu) said:
Bwana Shaban, tutajitahidi tufanye kama unavyoshauri.
ahsante endelea kutupatia mawazo kila upatapo jambo la kutukumbusha.
May 16, 2013
ust abuba (mwanza) said:
allah awajaze khel inshalla
January 29, 2014

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.