Envaya

KATIBU  wa BAKWATA Wilaya Gairo mwenye Sweta akiwa na Eng. Nasoro Kindamba wakiwa katika harakati za kupima jengo la Shule katika mradi wa ujenzi wa Shule Kimashale Wilayani hapo. Aidha Katibu wa Wilaya anatoa wito kwa Wadau na Waislam wote kushiriki katika kuchangia ujenzi wa Shule Hiyo ya umma wa Kiislam. Ujenzi wa Shule ni ghari sana unahitaji mabilioni ya hele hivyo inahitaji mshikamano haswa wa Kiimani ili kufanikisha hivyo tunatoa wito sote tushiriki ili kuujenga uislam wetu. Mnaweza changia vifaa vya ujenzi au fedha kupitia Akaunt zetu NMB 24010003220 au M-Pesa 5081600

KAWASASA TUPO KATIKA HATUA ZA MSINGI

 

11 Julai, 2021
« Iliyotangulia

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.