Mashirika ya Ubia
Mabadiliko Mapya
Baraza kuu la waislamu wa Tanzania wilaya ya Mkuranga pamoja na kujishughulisha na masuala ya Dini ya Kiislamu lakini pia linajihusisha na utoaji huduma kwa jamii katika harakati za kuleta maendeleo kwa waumini wa dini ya kiislamu na wasiokuwa waislamu. – Hivi karibuni tumewahi kuendesha miradi miwili, wa kwanza ambao ulianzia... Soma zaidi
8 Desemba, 2012
BARAZA KUU LA WAISLAMU WA TANZANIA (BAKWATA) WILAYA YA MKURANGA imeumba ukurasa wa Timu.
DISTRICT SHEIKH: KHAMMAS ABDULRAHMAN MZEE – DISTRICT SECRETARY: KHAMIS AHMED MAJID – PROJECTS COORDINATOR: MOHAMMED MAULID KATUNDU – TREASURER: ALI KHAMISI MBULU
1 Julai, 2011
BARAZA KUU LA WAISLAMU WA TANZANIA (BAKWATA) WILAYA YA MKURANGA imejiunga na Envaya.
Sehemu: Mkuranga, Tanzania
1 Julai, 2011