<?xml version='1.0'?>
<rss version="2.0" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:georss="http://www.georss.org/georss">
	<channel>
		<title><![CDATA[African Youth and Orphan Relief and Progressive Organisation]]></title>
		<link>http://envaya.org/ayorpo</link>
		<item>
  <guid isPermaLink='true'>http://envaya.org/ayorpo/history</guid>
  <pubDate>Tue, 13 Jul 2010 02:10:37 +0000</pubDate>
  <link>http://envaya.org/ayorpo/history</link>
  <title>African Youth and Orphan Relief and Progressive Organisation updated its History page.</title>
  <description>Shirika la Ayorpo lilianzia shughuli zake Wilaya ya Kinondoni katika Kata ya Bunju Mtaa wa Bunju &quot;A&quot; mwaka 2005 tukihudumia pia Mtaa wa Bunju &quot;B&quot;, Mbopo, Mabwe Pande na Mitaa mingine ya Kata ya Bunju tukiwa na juma la Wanachama wasiopungua thelathini.  Tulikuwa tunahudumia Wilaya ya Kinondoni pekee baadaye mwaka 2006 -2007 tulikuwa tumepanua shughuli za NGO kwa Wilaya zote tatu za Mkoa wa Dar es Salaam ikiwemo Ilala na Temeke. Wilaya ya Ilala tulikuwa kwenye Kata ya Tabata tukihudumia mitaa miwili Tabata na Tenge, na Wilaya ya Temeke tulikuwa Mtaa wa Mbagala na Mbagala Kuu. Kutokana na kupanuka kwa shughuli za NGO kwa Wilaya zote tatu na ili tuweze kutoa huduma nzuri kwa Walengwa wetu mwaka 2009 tulihamisha Makao Makuu ya Ofisi Bunju na kuhamia Wilaya ya Ilala Kata ya Tabata  kwenye majengo ya CCM.</description>
</item>
<item>
  <guid isPermaLink='true'>http://envaya.org/ayorpo/post/1969</guid>
  <pubDate>Fri, 09 Jul 2010 09:42:23 +0000</pubDate>
  <link>http://envaya.org/ayorpo/post/1969</link>
  <title>African Youth and Orphan Relief and Progressive Organisation added a News update.</title>
  <description>AYORPO tunashukuru kuwa katika teknologia hii. Tunachoomba Wadau wenzetu tuwasiliane kwa kututia moyo na tuwe na mshikamano ili kazi hii ya kuhudumia jamii isonge mbele na iwe na mafanikio kwa Walengwa wetu, Mungu awabariki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;AYORPO tuna mapungufu mengi katika huduma zetu tunazozitoa hasa baada ya huduma zetu kupanuka kwa Mkoa mzima wa Dar es Salaam na hali ngumu ya maisha inayowakabili Watanzania wengi kwa ujumla, hivyo tunaomba Wadau wenzetu mnaoweza kutuunga mkono kwa chochote mlichokuwa nacho ili tukikijumulisha na cha Wadau wakubwa wa NGO hii ambao ni Wanachama wenyewe kitaweza kuwa msaada mkubwa kwa jamii.&lt;br /&gt;NGO hii ni Mlezi wa Watoto Yatima walio katika shule ya Awali Kata ya Mbagala Kuu, Mtaa wa Mbagala Kuu wakiwa na mahitaji mengi kama; uniform, vitabu, kalamu na hawana hata madawati ya kukalia wanakaa chini kwenye mikeka na mikeka yenyewe pia ni pungufu. Vile vile wanakosa hata uji kikombe kimoja bila hata kitafunio hatimaye wengine wanakosa kuhudhuria darasani - nyumbani hamna uji, shuleni hamna uji , watoto wanabaki kushinda wanazurura barabarani na kujifunza mambo machafu yasiyopendeza jamii na baadaye kuingia mtaani kabisa.&lt;br /&gt;Shule hii ya Awali ina Walimu pia wa kujitolea tu kwa ajili ya kuwiwa na kundi kubwa hili la watoto kuona litaangamia mitaani, wewe kama Mzazi, Mdau tuwaangalie watoto hawa wanahitaji kupata elimu kama watoto wengine, wanahitaji wakalie madawati kama watoto wengine na angalau wapate hata kikombe cha uji hata kama hakina kitafunio, tafadhali.</description>
</item>
<item>
  <guid isPermaLink='true'>http://envaya.org/ayorpo/post/1780</guid>
  <pubDate>Fri, 18 Jun 2010 12:41:22 +0000</pubDate>
  <link>http://envaya.org/ayorpo/post/1780</link>
  <title>African Youth and Orphan Relief and Progressive Organisation added a News update.</title>
  <description>&lt;p&gt;&lt;img class=&quot;image_center&quot; src=&quot;//envayadata.s3.amazonaws.com/1772/1780/large.jpg&quot; alt=&quot;large.jpg&quot; /&gt;&lt;/p&gt;Kikao cha kwanza na Viongozi wa Kata, Serikali za Mtaa wa Bunju &quot;A&quot; na Bunju &quot;B&quot; na Wadau.</description>
</item>
<item>
  <guid isPermaLink='true'>http://envaya.org/ayorpo/history</guid>
  <pubDate>Fri, 18 Jun 2010 11:53:25 +0000</pubDate>
  <link>http://envaya.org/ayorpo/history</link>
  <title>African Youth and Orphan Relief and Progressive Organisation created a History page.</title>
  <description>Shirika la Ayorpo lilianzia shughuli zake Wilaya ya Kinondoni katika Kata ya Bunju Mtaa wa Bunju &quot;A&quot; mwaka 2005 tukihudumia pia Mtaa wa Bunju &quot;B&quot;, Mbopo, Mabwe Pande na Mitaa mingine ya Kata ya Bunju tukiwa na juma la Wanachama wasiopungua thelathini.  Tulikuwa tunahudumia Wilaya ya Kinondoni pekee baadaye mwaka 2006 -2007 tulikuwa tumepanua shughuli za NGO kwa Wilaya zote tatu za Mkoa wa Dar es Salaam ikiwemo Ilala na Temeke. Wilaya ya Ilala tulikuwa kwenye Kata ya Tabata tukihudumia mitaa miwili Tabata na Tenge, na Wilaya ya Temeke tulikuwa Mtaa wa Mbagala na Mbagala Kuu. Kutokana na kupanuka kwa shughuli za NGO kwa Wilaya zote tatu na ili tuweze kutoa huduma nzuri kwa Walengwa wetu mwaka 2009 tulihamisha Makao Makuu ya Ofisi Bunju na kuhamia Wilaya ya Ilala Kata ya Tabata  kwenye majengo ya CCM.</description>
</item>
<item>
  <guid isPermaLink='true'>http://envaya.org/ayorpo</guid>
  <pubDate>Fri, 18 Jun 2010 11:31:57 +0000</pubDate>
  <link>http://envaya.org/ayorpo</link>
  <title>African Youth and Orphan Relief and Progressive Organisation joined Envaya.</title>
  <description>&lt;em&gt;Sectors&lt;/em&gt;: &lt;div class=&#039;section_content padded&#039;&gt;
&lt;a href=&#039;/pg/browse?list=1&amp;sector=6&#039;&gt;Education&lt;/a&gt;, &lt;a href=&#039;/pg/browse?list=1&amp;sector=8&#039;&gt;Health&lt;/a&gt;, &lt;a href=&#039;/pg/browse?list=1&amp;sector=9&#039;&gt;HIV/AIDS&lt;/a&gt;, &lt;a href=&#039;/pg/browse?list=1&amp;sector=13&#039;&gt;Human rights&lt;/a&gt;, &lt;a href=&#039;/pg/browse?list=1&amp;sector=20&#039;&gt;Substance abuse&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;em&gt;Location&lt;/em&gt;: &lt;a href=&#039;/pg/browse/?lat=-6.8225&amp;long=39.2609&amp;zoom=10&#039;&gt;TABATA - CCM/ILALA, Tanzania&lt;/a&gt;</description>
</item>
	</channel>
</rss>