Envaya
Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

KWANINI VIJANA WANAJIHUSISHA NA VITENDO VYA UOVU?

ISHENGOMA MCHUNGUZI (PUGU)
16 Januari, 2018 22:08 EAT
naomba tuwasiliane
Marco Mathayo (Ngorongoro)
17 Machi, 2018 16:07 EAT

@Asasi ya ukombozi wa vijana AUVITA (via email): 

alkwinnews@gmail.com (mbeya)
22 Machi, 2018 13:14 EAT

@Africa Upendo Group: habari za kazi naomba mnielekeze jinsi ya kufungua na kuunda kikundi cha vijana nina maono hayo jamani msaada tafadhali.

Nicholaus Makata (Ifakara)
22 Machi, 2018 14:34 EAT

@ASASI YA UKOMBOZI WA VIJANA TANZANIA ( AUVITA):

Hongera kwa kazi na majukumu mliyochukua kwa Vijana nimependa idea zenu ila kuna vitu private napenda tushare pls nitafute makatanick87@gmail.com

ROBERT ISHABISA (KAGERA - MULEBA)
26 Aprili, 2018 13:08 EAT (ilihaririwa 26 Aprili, 2018 13:09 EAT)

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 niliehitimu ya kidato cha nne tumeanzisha kikund cha vijana katika kata yetu ningependa kujua zaidi namna ya kukiinua na kupata maendeleo zaidi 

ntashukuru kwa msaada wenu 

kwa mawasiliaon ni 0685657781

ASASI YA UKOMBOZI WA VIJANA TANZANIA ( AUVITA)
22 Juni, 2018 16:24 EAT

@STEVEN SYLIVESTER DUGUZA (KAGERA): nashukuru naomba unitumie email yako tuwasiliane

Kahuta (Mwanza City)
25 Juni, 2018 14:35 EAT

Nimepitia maandiko yote, kwa ujumla nimeona kuwa ipo haja ya kuelimisha vijana namna ya kujiunga kwa ajili ya uzalishaji. 

Kwa walioko Mwanza nawakaribisha kituoni kwetu ili wakajifunze bure. Kituo chetu ni cha taasisi isiyokuwa ya kiserikali inayofahamika kama Mwasenda Development Intervention (MDI). Tupo Nyasaka Centre - karibu na Buzuruga stand. 

Kahuta (Mwanza City)
25 Juni, 2018 14:40 EAT

@Emmanuel Mihambo (Mwanza,Nyamagana): 

 

Uko Nyamagana sehemu gani? 

 

Patrisi emanuel (Babati _ manyara)
6 Agosti, 2018 11:06 EAT
Nimependa sana nimepata kionjo nahtaji elimu zaidi kuhusu ufugaji kilimo na biashara
dickson athanael (tabora)
18 Februari, 2019 16:53 EAT

Ni yaleyale AUVITA  mmeyainisha hapa yanayoileta jamii ya vijana pamoja katika maendeleo yetu kama vijna. Mimi hapa ni mwenyekiti wa shirika jipya la vijana Tabora linaloitwa JUVITA naamini ushirikiano wetu uaweza kutokomeza kero na changamoto za maisha tulizo nazo.

Alberti Rugana (Mwanza Nyamagana ., Malimbe)
23 Agosti, 2019 10:21 EAT

@Africa Upendo Group: 


Ongeza Ujumbe Mpya

Karibisha watu kushiriki