Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

uchaguzi bila rushwa inawezekana?

AMANI THE FOUNDATION OF LIFE (Mbeya city)
November 2, 2012 at 5:30 PM EAT

Katika chaguzi zilizomalizika hivi karibuni ndani ya chama cha mapinduzi zimegubikwa na tuhuma za wagombea kuhonga wapiga kura, je nini hatima ya wagombea masikini ni kweli wataweza kushika madaraka ya kichama au kiserikali endapo hali hii haitakemewa na viongozi wa juu?


Add New Message (Hide)

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.