Envaya
Wasaidizi wa kisheria Masasi(WASHEMA) ni asasi ya usaidizi inayotoa huduma za kisheria(paralegals).Asasi hii imeanzishwa mwezi Mei mwaka 2013.Ina wanachama 20 waliopatiwa mafunzoya usaidizi wa kisheria na kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC.
September 25, 2014
Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.