Envaya

Napenda kuwapa taarifa kuwa kwa sasa tumepata Volutia watatu, nao ni Switbet Msoga, Suzan Mhagama na Saida Ausi. Hawa ni wanataaluma na kwa hivyo tutakuwa na project zetu zote na kila mmoja atafanya kazi katika eneo lake. Kwa sasa wapo katika Orientationtukimaliza shughuli hiyo tutawatangazia nani atakuwa katika nafasi gani.

Deo Makoti

MRATIBU-VOYOHEDE

October 12, 2016
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.