Envaya

Katika utafiti Tunaoendelea kuufanya ,tumegundua masuala mbali mbali katika kundi la wanawake walioko pembezoni na kugundua kuwa ,ili wanawake tuweze kushika hatamu na kuleta mabadiliko ya kweli ni lazima tuyajumuishe makundi ya wanawake yaliyoko pembezoni.

28 Julai, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Maoni (2)

Mkekai (Arusha) alisema:
Hiyo ni kweli kabisa.
28 Julai, 2012
Tanzania Women of Action(Tawa) (Hananasifu Kinondoni) alisema:
Mwanakombo Tanga
Nawapongeza Tawa kwa kusema ukweli kwani makundi mnayoyataja yapo lakini watanzania tunajifanya hatuyajui.
10 Novemba, 2012

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.