Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Interview 10
1.Unaishi sehemu gani?!
Keko mwanga 'A'
2.Mtaa wako unahitaji kitu gani sana sana?!
Kuboresha miundo mbinu,mfano mfereji mkubwa kupanuliwa,mifereji midogo midogo ijengwe itakayotiririsha maji kwenye mfereji mkubwa.
3.Mafuriko yameleta athari gani kwenye nyumba unayoishi na vitu vyako?!
- Vitu vyote vya ndani vimeharibika.
- Nyumba imebomoka ukuta.
- Mifugo kama kuku,bata imekufa baada ya kusombwa na maji.
4.Mafuriko yameleta athari gani kwenye maisha yako ya kila siku?!
- Magonjwa mlipuko kutokana na uchafu wa maji taka kuzingira nyumba yangu.
- Kuishi mazingira hatari baada ya ukuta wa nyumba yangu kubomoka hivyo kulala sehemu hatarishi.
- Nimepoteza rasilimali.
5.Vyanzo vya ubora wa maji vimepata athari gani kutokana na mafuriko?!
Vyanzo vya maji mtaani kwetu vyote vimeharibika hivyo kukosa upatikanaji wa kira maji safi na salama.
6.Kama una kazi,inakuchukua muda gani kutoka nyumbani mpaka eneo lako la kazi?!
January 31, 2012
Comments (3)
.Kwa waliopoteza rasilimali,mitaji,vifaa vya kazi watafutiwe njia ya kuwawezesha waanze upya kwenye shughuli zao za kazi,kuepusha uhaalifu utaohatarisha maisha ya wananchi wengine.
Kugawa vyandarau ili kuepusha wakazi katika eneo la keko kupata ugonjwa wa Malaria.
.
Kiwanda cha Ruby kimechangia kwa asilimia 40 kusababisha mafuriko katika maeneo ya keko kwasababu ya kuziba mfereji mkubwa wa maji kwa lengo la kufanya ulinzi katika kiwanda hicho,hivyo serikali ina jukumu kubwa la kuhakikisha kero hii inatoweka.