Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
Interview 5
1.Unaishi eneo gani?!
Keko mwanga 'B'
2.Mtaa wako unahitaji kitu gani sana sana?!
Kuzibuliwa mitaro,kujengwe mifereji,kuvunjwe kuta zitazozuia maji.
3.Mafuriko yameleta athari gani kwenye nyumba unayoishi na vitu vyako?!
Vitu vyangu havikuharibika,niliwahi kuvihamisha juu ya bati.
4.Mafuriko yameleta athari gani kwenye maisha yako ya kila siku?!
- Uchafu maana maji taka bado yamezingira nyumba yangu.
- Magonjwa kutokana na uchafu uliozingira nyumba.
5.Vyanzo bora vya maji vimepata athari gani kutokana na mafuriko?!
Kisima changu kimebomoka hivyo inatubidi kuchota maji kwenye maeneo ya miinuko ambayo kwangu ni gharama ambayo siwezi kumudu.
6.Kama una kazi,inachukua muda gani kutoka nyumbani mpaka eneo lako la kazi?!
Sina kazi.
31 Mutarama, 2012