Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

lengo la shirika ni kuondoa vokwazo vya maendeleo na kuhakikisha kila binadamu anaishi maisha bora na hasa yale makundi yaliyosahaulika na yanayoishi katika mazingira hatarishi.

Latest Updates
TANZANIA YOUTH NEW FASHION added a News update.
Taarifa ya kazi ya uandaaji wa PD Budget iliyofanyika jijini dar kuanzia tarehe 10th2012-12th 2012 – somo hapo juu lahusika – Napenda kutoa taarifa ya kazi iliyofanyika jijini DR LENGO KUU LIKIWA NI UANDAAJI wa budget, pd pamoja na........................... Kwa ajiri ya mwaka mpya unaoanza mwezi 10 -2013 staff walio... Read more
October 25, 2012
TANZANIA YOUTH NEW FASHION added a News update.
RATIBA AMBAYO INAONYESHA SIKU VIKUNDI VYOTE VYA WORTH KATIKA KILA KATA VINAOKUTA NA WAWEZESHAJI WAO. – MWEZESHAJI – KITUO KANDA AMBAPO KIKUNDI KULIPO – MWAKA
September 8, 2012
TANZANIA YOUTH NEW FASHION added 3 News updates.
Hitimisho. Tunapenda kutoa shukurani zetu za dhati kabisa toka ndani ya mioyo yetu kama watumishi wa AICT/CCT pamoja tuwalee kwa meneja na uongozi mzima wa shirika la hifadhi la jamii la NSSF. Sintakuwa mwema wa fadhila na shukurani kamasinto wataja kwa majina maafisa toka hifadhi ya jamii mkoani tabora shirika la NSSF... Read more
September 3, 2012
TANZANIA YOUTH NEW FASHION added a News update.
MUHUTASALI WA KIKAOO CHA USAIHILI WA WAWEZESHAJI KUTOKA KATA SABA ZA MANISPAA YA TABORA. – Kikao kilifunguliwa mida ya saa tatu asubuhi na mratibu wa mradi wa pamoja tuwalee kwa kuwakaribisha wafanyakazi wa shirika la Aict pamoja na Muwezeshaji kutoka pact tanzania, watendendaji wa kata saba za manispaa pamoja na afisa usitawi wa... Read more
August 29, 2012
TANZANIA YOUTH NEW FASHION added 2 News updates.
Utambuzi wa watoto yatima
August 28, 2012
Sectors
Location
Tabora, Tanzania
See nearby organizations