Envaya

ikiwa jamii inatambua ya kwamba watoto ni wetu sote kwanini isijitoe kuwalea? hii inaonesha kwamba jamii inathamini zaidi watoto wao wa kuwazaa na kuwaacha wengine wakitaabika hivyo kauli ya pamoja tuwalee inabaki kama msemo tu tena usio na faida yoyote kwa taifa, hii inafanya taifa kuzidi kuwa masikini kwani pengine hao tunaowaacha wangesoma wangeweza kuwa mawaziri au hata viongozi wakubwa katika ngazi za juu.

25 Juni, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.