Envaya

Taarifa ya kazi ya uandaaji wa PD Budget iliyofanyika jijini dar kuanzia tarehe 10th2012-12th 2012

somo hapo juu lahusika

Napenda kutoa taarifa ya kazi iliyofanyika jijini DR LENGO KUU LIKIWA NI UANDAAJI wa budget, pd pamoja na........................... Kwa ajiri ya mwaka  mpya unaoanza mwezi 10 -2013 staff walio husika katika uandaaji wa kazi hizo ni Poul Sipemba(Director) robert Masele (program Accountant) Agatha NSWILA (M&E) PAMOJA NA Kokuhabwa Byarugaba (program Officer)

 

25 Oktoba, 2012
« Iliyotangulia

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.