Injira
TANZANIA YOUTH NEW FASHION

TANZANIA YOUTH NEW FASHION

Tabora, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

Chanhamoto. Katika kila suala lolote la maendeleo katika jamii yote ile changamoto ni suala ambalo haliepukiki katika mtizamo wa mpango ambo ni yakinifu kwa usitawi wa maendeleo ya kijamii.

- Uelewa mdogo wa elimu kwa baadhi ya wanavikundi. Hapa wanavikundi wetu wengi hawakuwa na elimu ya kutosha juu ya huduma zitilewazo na NSSF.

-Idadi ndogo ya wanavikundi wakati wa zoezi hili la kuelimisha na kuhamasisha jamii ijiunge na mfuko wa hifadhi ya jamii ya NSSF.

Suluhisho. Suala la elimu ni jambo muhimu sana kwa jamii yetu na kwa maendeleo ya taifa kwa ujumla. Kwani watu wawapo na afya zao njema kabisa hii itawasaidia pia hata wao kufanya kazi zao kwa ufanisi kwani watakuwa na afya njema. Kama shirika la AICT tutaendelea kushirikiana na wadau wengine wa maendeleo katika kuisaidia jamii yetu hii haswa wanaoishi katika mazingira hatarishi.

Mafanikio. Hakuna kitu kinachofanyika katikkak jamii yeyote ile kisicho kuwa namafaniokio ni jambo la kushukuru mungu kwa mafanikio ni makubwa sana kwa usitawi na maendeleo ya jamii.

- Idadi ya wanavikundi wote ni 464 ambapo ni jumla ya vikundi 27 toka katika kata zote tano za mpango wa WORTH. Ambapo ni watu 300 wameweza kujiunga na fuko wa hifadhi ya jamii ya nSSf kama wanachama mabao tunategemea watapata huduma ya matibabu katika hospitali mbalimbali  za hapa Tabora na kwingineko kulingana na tatizo husika pia zaidi ya watoto 2000 wataweza kunufaika kupitia mpango huu.

-Wanavikundi waliojitokeza wote walriweza kujiunga na kuwa wanachama wa NSSF ambapo kila mwanachama atachangia elf 16 kwa miezi mitatu tunaamini wataweza kwani WORTH itawasaidia kupitia vikundi vyao pia mkopo wa nssf utawasaidia katika kukuza mitaji ta biashara zao.

-Pia idadi ya wakina mama wengi zaidi wariweza kuhasika nakujiunga na mpango huu kupitia NSSF imetia hamasa kubwa sana takribani vikundi vinne vimeweza kuundwa kupitia mpango wetu huu ambapo mbugani vikundi viwili na ngambo kikundi kimoja pia isevya kikundi kimoja hii ni hamasa kubwa na jamii ineitikia vizueri.

-Suala la mkopo kupitia saccoss watakazo unda wanavikundi hii ni faida kwetu kwani hii itawasaidia kuongeza mitaji yao kwa ajiri ya buiashara zao pia wakitumi fursa ya vikundi vya WORTH ambavyo vitakuwa kama vikundi mama vya kuirea ile saccoss yako.

-Pia shirika la hifadhi ya la jamii limeweza kutupatia shiling lakini moja na nusu Tsh 1500000 kama mchango katika kusaidia jamii, kwani wamehamasika sana kupitia mchakato wetu huu kwa kupitia vikundi vya wORTH. Hii itakuwa ni njia nzuri kwa mashirika mengine kuhamasika pia na kutuunga mkono katika harakati zetu za kuona jamii inasaidiwa na iwe na maisha bora kupitia mradi wa pamoja tuwalee.

 

3 Nzeli, 2012
« Inyuma Ahakurikira »

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.