Envaya

katika kijiji cha matagata nimefanya id upya na kuwabaini mvcc wapatao

kuna baadhi ya mvccs wamehama, kwahiyo wanao wajibika kufanya kazi ni wachache

tayari nimesha waingiza wanakamati wapya ili wazibe nafasi za walio hama

mvccs wanahitaji mafunzo zaidi ili waweze kujua wajibu wao katika mradi huu wa pamoja tuwalee

 

10 Julai, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.