Fungua
TANZANIA YOUTH NEW FASHION

TANZANIA YOUTH NEW FASHION

Tabora, Tanzania

(B)kufanya uhuishaji wa takwimu za watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi na mahitaji yao.Vilevile kujua ni watoto wangapi wamezidi umri wa chini ya miaka 18 na niwangapi wamesajiriwa kwa mara ya kwanza katika daftari la usajiri.

(C)Changamoto kubwa tuliokumbana nayo ni kutoka na geographia ya wilaya ya sikonge kuwa mbaya hivyo basi barabara nyingi zimekua zikipitika kwa shida sana .Vilevile kulingana na bajeti ya mradi posho iliyopangwa kwa wafunyakazi hazitoshi kabisa kulingana na halialisi ya kiuchumi na mazingira yakazi.

(D)Ningependa kuhushauri uongozi utpatie usafiri unao kidhi halialisi ya barabara  kulingana na geographia ya wilaya yetu.pia ningependa  kuushauri uongozi ujaribu kuongeza kiwango chaposho kwani kilicho pangwa  hakikidhi mahitaji kulinga na alialisi ya kiuchumi na mazingira yakazi.

(E)Kutokana na changamoto tulizo kumbanazo nimejifunza kutumia rasilimali zinzinizunguka kulingana na mazingila niliyopo.Vilevile kushirikiana na timu niliyonayo pale tatizolinapotokea hasa  kiutendaji.

(F) Posho aikidhi mahitaji kulinga na na mazingira ya kazi

-Usafiri aukidhi  mahitaji kulingana na geographia  ya barabara zetu.

(G)Kutokana na halialisi ya kiuchumi poshoingeongezwa kulingana na halialisi ya maisha na ugumu wa kazi.Vilevile tungepeda kutumia usafiri unao kidhimahitaji ya barabara zetu

(H)Pamoja na changamoto zotetulizokumbana nazotumefanikiwa kufikia kata nne kulingana na mgawanyo wa majukumu.Tumefanikiwa kuta mbulisha mradi mpya wa Pamoja Tuwalee katika kata na vijiji.

Tumefanikiwa kuwafikia wanakamati 64 kulingana  na kata,vijiji tulivyo tembelea.Vilevile tumefanikiwa kutoe mafunzo ya jinsi ya kujaza fomu za rufaa kwa watoto wanao ishi katika     mazingira hatarishi . pia tume toa  mafunzo juu ya jinsi ya kujaza fomu ya usajiri wa familia ,tathimini na mpangowa kutunza familia  yenye watoto wanao ishi kataka mazingira hatarishi na mahitaji yao.

27 Juni, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.