Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

mabaraza ya katiba

Tanganyika centre for development and advocacy (uhuru road, miyomboni street, Asas Estate first floor)
April 4, 2013 at 6:43 PM EAT

je mchakato wa kuwapata wajumbe wa mabaraza ya katiba unakwenda sawia, au kuna njia za udanganyifu zinatumika kuwapata wajumbe hao.

tukumbuke katiba ndiyo maisha ya leo, kesho na siku zijazo, tuliopata nafasi tukawajibike kwa ajili ya wananchi waliotutuma na si vinginevyo


Add New Message (Hide)

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.