Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza. Edit translations
SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA !!
Funguka, chukua hatua, mlinde mtoto apate elimu
Mtu binafsi, walimu, wanafunzi, wazazi na jamii kwa ujumla wanaaaswa kuwalinda watoto dhidi ya ukatili wa kijinsia na kuhakikisha kwamba shule ni mahala salama.
Jamii itafakari kwa kina jinsi vitendo vya ukatili wa kijinsia mashuleni vinavyoathiri maendeleo ya watoto wetu kielimu. Hivyo kuna haja ya kuwa na taifa linalopiga vita vitendo vyote vya ukatili wa kijinsia. Taifa linalofumbia macho ukatili wa kijinsia haliwezi kupiga hatua kimaendeleo
26 Ugushyingo, 2015