MTANDAO WA MASHIRIKA YASIYOKUWA YA KISERIKALI KATIKA WILAYA YA MTWARA wameendesha mafunzo ya siku mbili juu ya kuwajengea uwezokuhusu utetezi wa masuala ya jinsia na ukimwi kwa Azaki wanachama juzi na jana katika manispaa ya Mtwara yaliyofadhiliwa na GIZWashiriki wa mafunzo ya kujenga uwezo kuhusu utetezi wa masuala ya jinsia na ukimwi kwa Azaki yaliyofadhiliwa na GIZ.
28 Oktoba, 2011
Maoni (1)