Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri
FCS Narrative Report
Utangulizi
SHANGWE COUNSELING CENTRE
SHAC
Kuimarisha Utawala bora kwa wanawake Vijijini.
FCS/MG/2/10/099
Tarehe: 1Sept, 2011- 31Nov, 2011 | Kipindi cha Robo mwaka: 3 |
Samuel Philimon Ngwipa ( Meneja Mradi).
P.o. Box 3101
Mbeya
P.o. Box 3101
Mbeya
Maelezo ya Mradi
Utawala Bora na Uwajibikaji
Mradi huu unakidhi malengo muhimu ya eneo tulilochagua kwa sababu unalenga utoaji elimu wa haki za wanawake ambao ndio walengwa hasa wa mradi ikiwemo kuwashirikisha katika mipango mbalimbali ya maendeleo
Mkoa | Wilaya | Kata | Vijiji | Idadi ya Wanufaika |
---|---|---|---|---|
Mbeya | Rungwe | Mpuguso,Kyimo,Bujela,Bulyaga,Kisondela na Lufingo | Simike,Kalalo,Itete,Iponjola, Lugombo, Kagwina, Bulyaga kati,Bugoba,Mtindo,Lutete, Kisuba,Ndubi,Mpombo,Katabe, Mibula,Bujela,Isaji,Ipumbuli,Isongola. | 60 |
Walengwa wa moja kwa moja | Walengwa wasio wa moja kwa moja | |
---|---|---|
Wanawake | 45 | 11 |
Wanaume | 15 | 9 |
Jumla | 60 | 20 |
Shughuli na Matokeo ya Mradi
Kufanyika kwa mkutano wa utetezi na uhamasishaji kwa wanawake 45 na wanaume 15 katika kata za Lufingo,Kyimo,Bujela,Kisondela,Mpuguso na Bulyaga
1.Mkutano wa uhamasishaji na utetezi juu ya haki za wanawake kwa wanawake na wanaume katika kata sita za Rungwe.
Mkutano wa utetezi na uhamasishaji juu ya haki za wanawake umeweza kufanyika tarehe 3Sept,2011.Jumla ya walengwa 60 wanawake 45 na wanaume 15 walishiriki katika mkutano huo. Masuala ya mila na desturi zinazowakandamiza wanawake yaliweza kushughulikiwa kwa kina mfano mgawanyo wa mali kwa mama Suzana wa Bulyaga ambaye kwa muda mrefu alikuwa akifuatilia sehemu yake ya urithi na hakuweza kupata uvumbuzi, katika mkutano huu alitoa hoja yake , kwakuwa Mkuu wa mila na desturi alihudhulia mkutano huu aliahidi kulishughulikia suala hili na kulipatia majibu
Hakuna Tofauti Yoyote.
Mkutano wa uhamasishaji juu ya haki za wanawake- 3,548,500/
Mafanikio au Matunda ya Mradi
Kiwango cha jamii kutambua haki za wanawake na kuheshimu mawazo ya mwanamke kuongezeka mfano katika kata ya Lufingo wanawake walipendekeza kuanzisha mradi wa ng,ombe wa maziwa kwa kusaidiwa na ofisi ya mifugo wilaya na mradi wa uanzishwaji wa mashamba ya chai, mawazo yao yalikubaliwa na viongozi wa vijiji na wilaya , na yanashughulikiwa ili kuanzisha miradi hiyo.
Vikundi vya maendeleo ya wanawake vimeweza kuanzishwa mfano kata ya Kisondela wanawake wameanzisha vikundi vya maendeleo (vicoba) kwa ajili ya kukabiliana na hali ngumu ya uchumi na kusaidiana wakati wa matatizo.
Wanawake wengi wamejitokeza katka kujiunga kwenye vikundi mbalimbali vya ujasiriamali na maendeleo ili kukabiliana na changamoto mbalimbali za maisha.
Hakuna
Mambo Mliyojifunza
Maelezo |
---|
Shughuli za utetezi na uhamasishaji ni shughuli muhimu sana katika kutatua matatizo ya wanawake vijijini kwani bila kufanyiwa utetezi sauti zao hazisikilizwi na viongozi wa ngazi mbalimbali pamoja na watunga sera mfano katika shughuli za utetezi tuliyoifanya kulikuwepo na watu maarufu ambao ni rahisi kusikilizwa katika jamii, hivyo watu hao waliweza kuona umuhimu wa mwanamke na kuhamasisha jamii kuheshimu utu wa mwanamke, hivyo wanawake kupata nafuu mbalimbali za kimaisha. |
Changamoto
Changamoto | Namna mlivyokabiliana nazo |
---|---|
Kuhamahama kwa viongozi wa serikali za vijiji wanaoujua mradi na ambao walishiriki kikamilifu katika mafunzo ya haki za wanawake na kuja wapya ambao inabidi tuanzenao mwanzo kuwaelekeza yale tunayoyafanya na pale tulipofikia | Kuwapatia muhtsari na ripoti mbalimbali inayohusu mradi unaoendelea ili waufahamu vema na kuendelea kutoa ushirikiano |
Mahusiano
Wadau | Namna mlivyoshirikiana nayo |
---|---|
Vituo vya sheria za haki za wanawake na watoto | Kutoa rufaa ya walengwa wanaohitaji msaada wa kisheria |
Idara ya ustawi wa jamii | Kutoa rufaa kwa ajili ya wanawake wanaohitaji misaada ya kijamii katika ngazi ya familia. |
Mipango ya Baadae
Shughuli Zilizopangwa | Mwezi wa 1 | Mwezi wa 2 | Mwezi wa 3 |
---|---|---|---|
Kufanya tathmini na warsha itakayojumuisha wadau mbalimbali katika kutathmini mradi uliofanyika | X | X | X |
Walengwa Waliofikiwa
Walengwa wa moja kwa moja | Walengwa wasio wa moja kwa moja | ||
---|---|---|---|
Wajane na Wagane | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Watu wanaoishi na VVU/UKIMWI | Wanawake | 3 | (Hakuna jibu) |
Wanaume | 1 | (Hakuna jibu) | |
Jumla | 4 | (Hakuna jibu) | |
Wazee | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Watoto Yatima | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Watoto | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Watu wenye Ulemavu | Wanawake | 2 | (Hakuna jibu) |
Wanaume | 2 | (Hakuna jibu) | |
Jumla | 4 | (Hakuna jibu) | |
Vijana | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Watu wengine | Wanawake | 40 | 11 |
Wanaume | 12 | 9 | |
Jumla | 52 | 20 |
Hawa ni wawakilishi wa wanawake na wanaume waliohudhulia mkutano wa utetezi na uhamasishaji
Matukio Mliyoyahudhuria
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Usimamizi wa ruzuku | October ,2011 | Namna ya kubadilishana uzoefu wa masuala ya Usimamizi wa fedha. | Mkutano wa pamoja na kamati tendaji pamoja na watendaji ili kutoa mrejesho wa maagizo na mafunzo yaliyotolewa. |