SEDIT is a Non Governmental, Non Political, Non Religious Organization geared towards promoting the marginalized communities in managing Socio-economic development programme through participation of credit interventions.
Latest Updates
SOCIAL AND ECONOMIC DEVELOPMENT INITIATIVES OF TANZANIA has a new message in the discussion Wananchi tujiunge na VICOBA ili waweze kuondoa umaskini.
B. D. WADELANGA (SEDIT): Hellow mr Athanas Haule, SOCIAL AND ECONOMIC DEVELOPMENT INITIATIVES OF TANZANIA (SEDIT) asante kwa ujumbe wako wa kuhitaji Huduma za VICOBA. SEDIT tuna utaalamu wa kutosha wa kutoa mafunzo ya VICOBA. Uzoefu wetu ni wa miaka kumi hadi sasa tukiwa tumefanya... Read more
June 16, 2011
SOCIAL AND ECONOMIC DEVELOPMENT INITIATIVES OF TANZANIA has a new discussion about Wananchi tujiunge na VICOBA ili waweze kuondoa umaskini.
agatha kisaka: Kweli kabisa wananchi wa Tanzania wajiunge na mfumo wa VICOBA ili waweze kuondoa umaskini kwa sababu tulio wengi tuna tatizo la kujiwekea akiba ambayo itatufanya tuweze kupunguza tatizo la mitaji na kutatua matizo ya dharura mfano ugonjwa ,ada za shule na tatizo la kiafya.
June 8, 2011
SOCIAL AND ECONOMIC DEVELOPMENT INITIATIVES OF TANZANIA has a new discussion about VIcoba ndio mkombozi wetu.
agatha kisaka: Vicoba ndio mkombozi wetu kwa sababu vicoba vinamfanya mwananchi aweze kujiwekea akiba na kupata mikopo yenye masharti nafuu na kwa urahisi zaidi.
June 8, 2011
SOCIAL AND ECONOMIC DEVELOPMENT INITIATIVES OF TANZANIA created a History page.
Historia ya Fupi ya Shirika na Shughuli Zake
SEDIT ni shirika lisilo la kiserikali lililosajiliwa Februari 23, 2005 chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ambalo makao makuu yake yapo Ilala Sharifu Shamba, kitalu namba 58. Shirika letu limekuwa likijihusisha na uanzishaji wa vikundi vya... Read more
June 8, 2011
Other Websites
Sectors
Location
Dar es salaam, Dar es Salaam, Tanzania
See nearby organizations
See nearby organizations