Envaya

Save Lives Organization Trust Fund

Manispaa Morogoro, Tanzania

Kuendeleza ustawi wa kazi zote za jamii hasa elimu, Afya, utoaji wa huduma muhimu kwa maisha ya binadamu kimwili na mambo ya kiuchumi ili kuifanya dunia mahali pazuri pa kuishi
Amakuru agezweho
Save Lives Organization Trust Fund hari ibyo yahinduye kuri Ikipe paje.
Ipyana Jubeck Mapassa – Mkurugenzi Mtendaji – P.O.Box 5180 – Simu Na. +255656591124, +255788591124 – Morogoro - Tanzania – Alfred Samwel Mdee – Chief Accountant – Member Of The Board of Trustee – P.O.Box 5180 – Mawenzi Morogoro ... Soma ibindi
23 Nyakanga, 2010
Save Lives Organization Trust Fund hari ibyo yahinduye kuri Amateka paje.
Save lives organization Trust Fund Tanzania ni taasisi isiyo ya kiserikali, kidini wala si ya mtu binafsi. Ni taasisi ya kiraia ambayo ilianzishwa kwa ajili ya jamii nzima. – Kama lilivyo jina lake, taasisi hii ilianzishwa mwaka 2005 na waanzilishi wa taasisi hii ambao ni Mchungaji Jubeck T. Mapassa wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la... Soma ibindi
13 Nyakanga, 2010
Save Lives Organization Trust Fund yashyizeho Amakuru agezweho.
baadhi ya watoto wakiwa na nyuso za furaha baada ya kupata msaada wa mavazi kutoka kwa wasamalia mbalimbali.
14 Kamena, 2010
Save Lives Organization Trust Fund yashyizeho Amakuru agezweho.
Mkurugenzi wa shirika Bwana Ipyana Mapassa akiimba pamoja na watoto wakati alipofanya zoezi la ugawaji wa mahitaji mbalimbali yakiwemo mavazi kwa watoto wa eneo la Melela.
14 Kamena, 2010
Save Lives Organization Trust Fund yakoze Amateka paje.
Save lives organization Trust Fund Tanzania ni taasisi isiyo ya kiserikali, kidini wala si ya mtu binafsi. Ni taasisi ya kiraia ambayo ilianzishwa kwa ajili ya jamii nzima. – Kama lilivyo jina lake, taasisi hii ilianzishwa mwaka 2005 na waanzilishi wa taasisi hii ambao ni Mchungaji Jubeck T. Mapassa wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la... Soma ibindi
5 Kamena, 2010
Ibyiciro
Aho uherereye
Manispaa Morogoro, Morogoro, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye