Fungua
PEMBA EDUCATIONAL DEVELOPMENT ORGANISATION (PEDO)

PEMBA EDUCATIONAL DEVELOPMENT ORGANISATION (PEDO)

CHAKE-CHAKE, Tanzania

large.jpg

14 Novemba, 2011
« Iliyotangulia

Maoni (3)

SAID KHAMIS JUMA (CHAKE-CHAKE PEMBA) alisema:
Napongeza sana juhudi zinazoendelea kuchukuliwa na jumuia ya kukuza na kuendeleza elimu kisiwani Pemba. Jumuia hii inajaribu kutanuwa wigo kwa kuwahusisha wadau mbalimbali wa elimu katika kisiwa cha Pemba. Aidha wananchi wamefarajika kwa kiasi kikubwa kuona mabadiliko yaliyopatikana toka kuanzishwa kwa jumuia hii.
16 Novemba, 2011
SAID KHAMIS JUMA (CHAKE-CHAKE PEMBA) alisema:
Ipo haja ya kujikita zaidi katika alimu ya stadi za maisha kama vile elimu ya ukimwi, mazingira, ujasiriamali, uvuvi nakadhalika.

Kufanya hivyo ni kuwajengea wananchi njia sahihi ya kujikwamua kutokana na umaskini unaoendelea kulitesa taifa letu la Tanzania
16 Novemba, 2011
Ali Shaaban Mtwana (Pemba) alisema:
Uendelezaji huu wa elimu unaofanywa na Jumuia ya PEDO katika kisiwa cha Pemba kwa kuwasaidia wanafunzi katika masomo ya ziada ni wa umuhimu sana kulingana na mazingira yalivyo. Nimegundua kwa ufuatiliaji wangu kwamba yanapatikana manufaa makubwa na mabadiliko kwa wanafunzi waliobahatika kusaidiwa masomo kwa muda wa ziada na Jumuia ya Kukuza na Kuendeleza Elimu Pemba (PEDO).
Jamii inaridhia mchakato huu na wanatoa baraka kwa wanajumuia kuendeleza kuwasaidia vijana.
17 Novemba, 2011

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.