NYAKITONTO YOUTH FOR DEVELOPMENT TANZANIA YATOA USHUHUDA KWA MWAKILISHI WA THE FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY(fcs) NDUGU,RICHARD KANTUNKA(FOUNDATION REP/JOURNALIST-RFA-KIGOMA.
Katika picha ni Richard Kantunka na Walengwa wa Mradi wa Kujengea Uwezo katika OFISI ya NYDT-tarehe 06.10.2012.
Ndugu Katunka alikaliliwa akisema,Namba ya Mawasiliano yenu ilikuwa imekosewa kwa Kuandikwa-)0765794996 badala ya 0765794896.
- alisema kutokana na namba kukosewa Walishidwa kumpata mtu mwafaka wa NYDT-badala yake alipokea mtu kutoka TABORA ambaye alimjibu majibu mabaya.
- Baada ya KUona OFISI,WATENDAJI na Walengwa wa NYDT-alishuhudia na kusema asasi ni nzuri,iko wazi,makini na Madhali yake yanaoyesha Uendelevu.
- Picha na matukio hapa chini.






Mabalozi wa NYDT Talents Kigoma katika picha,Wa Tatu kutoka KUshoto niSNOPA FELY(BIGSAM)msanii nyota wa BongoFlava.

Mkurugenzi wa NYDT akiwa na SIYALEO SADOKI-mwanzilishi wa asasi na mhamasishaji vijana NYDT.

Nyota na Mfadhili wa Kundi la HOLDAY ART GROUP_kigoma akiteta na Mratibu wa NYDT talents Kigoma.

M.J.Y(mosha jumanne)Mwimbaji wa BongoFlava-Kigoma:alikuwa Chagua na MWASITI alipokuwa kigoma-kulia ni Ramadhan joel-Mkurugenzi NYDT.

Mr.Joseph E.Majebele(Mratibu wa NYDT Talents Kigomayouth,akiwasikiliza wasanii na mabolozi.

Ndugu,January Gervas-Mwakilishi wa VIWAWA_ART group akifafanua jambo-Aliomba NYDT isibaki nyuma na ifanye ziara katika kundi lake ili kujionea vipaji.

Bi Khajira rashidi-Balozi wa NYDT Talents Kigoma akitoa neno na shukurani kwa ugeni wa Ziara ya SAVE MY TALENTS.

Msanii wa Filamu-Kutoka holday art Group-Kigoma akichangia mada ya namna ya Kuwapokea SAVE MY TALENTS,Ambao wanatarajia kuja KIGOMA.






