Fungua
HUDUMA YA AFYA YA JAMII MTWARA

TUMEPATA ELIMU YA KUJIUNGA NA TOVUTI YA ENVAYA LEO TAREHE 18/05/2011 MAFUNZO MAZURI TUMEFURAHI KUYAPATA TUNAWASHUKURU WALIOTUWEZESHA KWANI WAMETUPATIA KITU KIPYA AMBACHO HATUJAKITEGEMEA TUNAWASHUKURU SANA.

18 Mei, 2011
Ifuatayo »

Maoni (2)

TUNAWASHUKURU KWA KUTUSAIDIA KUPATA ELIMU HII MUENDELEE NA MOYO HUO KUTUSAIDIA ILI NASI TUPATE MWANGA ZAIDI WA KUWEZA KUTANDAA SEHEMU MBALIMBALI DUNIANI
18 Mei, 2011
NGOME (Mtwara) alisema:
NGOME inaendesha program ya klabu za mjadala mashuleni.Kwa sasa inaendesha klabu katika shule za sekondari za Mikindani na Mitengo,lengo ni kuwajenga vijana ili waweze kujitambua na hivyo waweze kutimiza majukumu yao katika jamii hususani katika suala zima la VVU na UKIMWI.Pia vijana hao waweze kubadili tabia na kuwa na tabia zinazokubalika katika suala zima la mahusiano.
26 Mei, 2011

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.