Envaya
Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

large.jpg

Mashindano ya ngoma aina ya ING'OMA yaliyofanyika kitongoji cha Kingani, Uyole jijini Mbeya Septemba 28 2013. Mzee Ambulungenie, amekuwa maarufu katika kuendeleza ngoma hiyo yenye asili ya WANYAKYUSA. Mashindano ya aina hiyo ni njia mojawapo muhimu katika kuendeleza udugu, urafiki, mashirikiano katika misingi madhubuti ya ujirani mwema na upendo.

11 Oktoba, 2013
Ifuatayo »

Maoni (2)

Massapa (Mwanza) alisema:
Mambo mazuri sana haya kudumisha udugu na ujirani na zaidi kutunza mila na desturi pamoja na utamaduni wetu ambao unapotea kwa kasi kutokana na mwingiliano wa mambo ya kigeni. Ni wajibu wetu kama jamii kulinda heshima na historia yetu. Asante sana uliyerusha hizi picha na habari. Tafadhali ongezea matukio ya hivi karibuni pia
16 Mei, 2015
Mpalano CDO alisema:
Shukrani kwa maelezo mazuri kaka Massapa. Tusaidiane kuyaeneza na kuyaendeleza mambo haya. Karibu sana kwenye jukwaa hili
18 Mei, 2015

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.