Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Katibu wa MEECO Ndugu Suleiman Jeni Pandu akimkabidhi andiko la Mradi "Uwezeshwaji kwa maendeleo" Mh. Haroun Ali Suleiman, waziri wa kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika kwa ajili ya kuchukuliwa hatua andiko hilo. Makabidhiano hayo yalifanyika ofisini kwake Mwanakwerekwe

October 23, 2012
« Previous

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.