Maafisa kutoka Shirika la The foundation for Civil Society la Dar-es-salaam wakiwa katika dhiara yao ya kuitembelea Asasi ya MEECO baada ya kupokelewa kwa maombi yao ruzuku wa mradi wa kujengewa uwezo uliotumwa na jumuiya ya MEECO shati rangi ya chungwa ni Katibu wa jumuiya ya MEECO Nd. Suleiman J. Pandu, kushoto kwake ni M.Kiti kitengo cha Mazingira cha Asasi ya MEECO Nd. Halima Salum na pia ni diwani wa viti maalum
21 Septemba, 2011