Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Midahalo ya katiba iwe ni njia ya kujenga uwezo wa jamii katika kushiriki utungaji wa katiba mpya na kuonesha kuwa katiba ni zao la muafaka wa kitaifa na si mkataba wa watawala na watawaliwa kwani hakuna kundi la watawala katika nchi ya kidemokrasia kama Tanzania

February 26, 2012
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.