Envaya

Midahalo ya katiba iwe ni njia ya kujenga uwezo wa jamii katika kushiriki utungaji wa katiba mpya na kuonesha kuwa katiba ni zao la muafaka wa kitaifa na si mkataba wa watawala na watawaliwa kwani hakuna kundi la watawala katika nchi ya kidemokrasia kama Tanzania

26 Februari, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.