Mama course project providing learning opportunity to young mothers dismissed from schools because of early pregnancies.
March 18, 2013
Douglas Mwaisaka (Msaginya fdc Mpanda Katavi) said:
Mama course ni mpango mzuri kwa ukombozi wa watoto wa kike ukiendelezwa kwa nchi nzima na hasa maeneo yaliyo athirika sana kama mkoa wa Katavi na mikoa mingine ya pembezoni
Comments (2)