Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

large.jpg

Mwenyekiti wa Kiungonet(Kushoto)na Mkurugenzi wa Kiungonet(Kushoto)wakijadili jambo.

large.jpg

Ndugu John B.Mosha-Mkurugenzi-KIUNGONET akibadilishana mawazo na watoa Mada.Bwana Musa Madua na Tereba Theonest.Katika Ukumbi wa Kibo Peak.

large.jpg

Mwenyekiti wa KIUNGONET Ndugu,Kashindi Tabwe akiwasikiliza wananchi wa Jimbo la Kigoma Mjini wakati wa Mdahalo.

large.jpg

Ndugu,John B.Mosha-Mkurugenzi wa KIUNGONET akiwasikiliza wananchi wakitoa kero zao,katika mdahalo uliofadhiliwa na The foundation for civil society(fcs) na kuendeshwa na Kiungnet-Ukumbi wa Kibo Peack-Jimbo la Kigoma Mjini.