FCS Narrative Report
Utangulizi
Tarehe: Decemba hadi February, March hadi May, June hadi Agosti 2011 | Kipindi cha Robo mwaka: 1st, 2nd & 3rd |
P.O.BOX 161
NJOMBE
Maelezo ya Mradi
Mkoa | Wilaya | Kata | Vijiji | Idadi ya Wanufaika |
---|---|---|---|---|
Iringa | Njombe | Luponde | Miva,Igola,Lusitu,Luponde,Lugenge,Madobole. | 60 |
Iringa | Njombe | Uwemba | Ihalula,Utalingolo,Magoda,Uwemba,Njoomlole,Makanjaula,Kirenzi,Kisilo,Mfereke. | 60 |
Iringa | Njombe | Kifanya | kifanya,Utengule,Lwangu,Iboya,Ihanga,Itipula,Mgala,Lilombwi,Mikongo,Liwengi. | 60 |
Iringa | Njombe | Yakobi | Idunda,Yakobi,Limage,Nundu,Igominyi. | 60 |
Iringa | Njombe | Iwungilo | Igoma,Iwungilo,Ngalanga,Uliwa. | 60 |
Iringa |
Walengwa wa moja kwa moja | Walengwa wasio wa moja kwa moja | |
---|---|---|
Wanawake | 86 | 258 |
Wanaume | 198 | 594 |
Jumla | 284 | 852 |
Shughuli na Matokeo ya Mradi
- kuchaguliwa kwa viongozi bora baada ya chaguzi mbalimbali
- wananchi 340 wamepata mafunzo juu ya athari za rushwa wakati wa uchaguzi.
uwemba,yakobi,kifanya na iwungilo.
2.1kuchapa na kudurufu mada 5 zenye
kurasa 10 kwa ajili ya washiriki 300
3.1 kuendesha semina ya Elimu ya uchaguzi
kwa wananchi 300 wa kata za luponde,
uwemba,yakobi,kifanya na iwungilo kwa
muda wa siku 25.
Walengwa wakuu walikuwa ni Viongozi wa Serikali za Vijiji, Vijana, Wanawake, Wafanyakazi wa Serikali, Viongozi wa Madhehebu ya Dini, na Viongozi ngazi ya Kata.
Mada zilizotolewa kwa semina ni kama ifuatavyo:-
• Demokrasia katika Uchaguzi.
• Haki na Wajibu wa Mpiga kura.
• Sifa za Kiongozi Bora.
• Rushwa Katika Uchaguzi.
• Uchaguzi na Maendeleo.
Midahalo na mikutano imefanyika kwa siku moja kwa kila kata.
uwemba,yakobi,kifanya na iwungilo...................... Tshs. 900,000.00
2.1kuchapa na kudurufu mada 5 zenye
kurasa 10 kwa ajili ya washiriki 300..................... Tshs. 550,000.00
3.1 kuendesha semina ya Elimu ya uchaguzi
kwa wananchi 300 wa kata za luponde,
uwemba,yakobi,kifanya na iwungilo kwa
muda wa siku 25...................................................Tshs. 17,114,445.00
4. posho mratibu wa mradi...................................Tshs. 1,200,000.00
5.posho kwa mhasibu...........................................Tshs. 1,080,000.00
6.posho kwa karani wa ofisi..................................Tshs. 900,000.00
7.posho kwa mtunza ofisi......................................Tshs. 480,000.00
8.chakula kwa wanasemina...................................Tshs. 2,115,913.00
posho kwa wawezeshaji........................................Tshs. 880,000.00
usafiri......................................................................Tshs. 1,350,000.00
stationery.................................................................Tshs. 341,200,00
ukumbi.....................................................................Tshs. 300,000.00
umeme na mlinzi.....................................................Tshs. 150,000.00
vipeperushi...............................................................Tshs. 264,000.00
Mafanikio au Matunda ya Mradi
1.1 malalamiko ya wananchi juu ya viongozi wao kupungua
1.2 viongozi kutoa taarifa za maendeleo.
1.3 wananchi wengi kujitokeza kushiriki shughuli za maendeleo.
1.4 Wananchi wengi kudai taarifa za maendeleo.
Mambo Mliyojifunza
Maelezo |
---|
wananchi wengi imeonyesha hawakujiandikisha wala kupiga kura katika uchaguzi uliopita, na hawakuona umuhimu wa kufanya hivyo na wala hawakutambua kuwa ni haki yao ya msingi na ya kikatiba, na ni mustakabali wa maisha yao na ya taifa zima. |
Maoni ya wanasemina yameonyesha rushwa ipo kwa kiwango kikubwa katika shughuli za uchaguzi, na imechagia sana kupata viongozi wabovu, na kujenga mazingira ya ushabiki wa vyama na kusahau ajenda za kimaendeleo. |
kwa maoni yao wanasemina, wanaona hawana nafasi ya kusimamia kwa ukaribu rasilimali za taifa ikiwemo miradi iliyopo ndani ya meneo yao |
kutoijua katiba ya nchi ni tatizo kubwa na ndiyo chanzo cha kutojua haki zao za msingi na kutojua wajibu wa viongozi wa kuwatumikia wananchi wao kadri ya katiba na miongozo mingine muhimu katika kusimamia maendeleo |
Changamoto
Changamoto | Namna mlivyokabiliana nazo |
---|---|
kwa kuwa shughuli nzima inafanyika ngazi ya kata na kuhusisha wawakilishi toka taasisi mbalimbali, hatukuweza kuwafikia moja kwa moja wananchi wote walio chini kabisa kijijini. | kwa kutumia wananchi waliopata semina wameweza kuwafundisha wenzao walio kijijni yale yote waliyoyapata katika semina. |
kwa kuwa elimu ya mambo ya uchaguzi imo ndani ya katiba wananchi walitaka kuijua katiba na lengo la kutaka kushiriki kikamilifu katika mchakato wa katiba mpya | kwa kushirikiana na mwezeshaji tuliweza kuongezea katika mada na kugusia kidogo suala la katiba. na baada ya hapo tutaangalia uwezekano wa kuwapelekea mafunzo ya mchakato wa katiba mpya. |
washiriki kudai hawashirikishwi kikamilifu juu ya usimamaizi wa karibu wa rasilimali za taifa ikiwemo miradi inayowahusu katika maeneo yao | mafunzo yaliyotolewa yamewapa mwamko mpya wa namna ambavyo wanatakiwa washirki katika kuibua miradi na kushiriki wakati wa utekelezaji. |
Mahusiano
Wadau | Namna mlivyoshirikiana nayo |
---|---|
Ofisi ya Mkurugenzi wa mji kupitia Idara ya maendeleo ya jamii | -kwa kuturuhusu kufanya shughuli hii bila pingamizi lolote -pia kuwaruhusu mabwana na bibi maendeleo wa kata kuwa nasi bega kwa bega katika kufanikisha shughuli nzima. |
viongozi wote wa ngazi ya kata na vijiji | - kutuandalia washiriki na kushiriki nao bega kwa bega katika muda wote wakati wa utekelezaji mradi. |
Mipango ya Baadae
Walengwa Waliofikiwa
Walengwa wa moja kwa moja | Walengwa wasio wa moja kwa moja | ||
---|---|---|---|
Wajane na Wagane | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Watu wanaoishi na VVU/UKIMWI | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Wazee | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Watoto Yatima | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Watoto | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Watu wenye Ulemavu | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Vijana | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Watu wengine | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Matukio Mliyoyahudhuria
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
mafunzo ya usimamizi wa ruzuku | 2009 | namna bora ya kusimamia ruzuku zinazotolewa kwa faida ya walengwa.utunzaji wa hesabu na kumbukumbu za fedha zamradi. | kuandaa vitabu vyote muhumu vya kutunzia mahesabu. |
mafunzo juu ya ufuatiliaji na tathmini | 2010 | umuhimu wa kufanya tathmini na ufuatiliji wa mradi wakati gani unaotakiwa kufanya ufuatiliaji njia bora za kufanya tathmini | kuandaa na kutekeleza taratibu nzuri za kufanya tathmini na ufuatiliaji wa shughuli za mradi. |
Viambatanisho
participant at Luponde Ward during the seminar on voters education February 2011.
Group Discusion is the most important part during the seminar so people can show how much they understand,this is at Kifanya Ward, Njombe Region February 2011.
women are not left behind, they did partcipate full during the seminar on voters education on February 2011.
participant were free to present their views and understanding during the seminar at Uwemba ward,Njombe Region
one of the participant giving her views during the seminar on voters education at Iwungilo ward Njombe Region, February 2011. the seminar prepaired by HUDEO,and was funded by foundation for civil society.
participants at uwemba ward during the training on good gorvenance doing group work assingment in 2009.
some of the partipants during the training on good gorvenance at uwemba ward, Funded by foundation for civil society 2009.
From january 2011 HUDEO have started preparation for the VOTERS EDUCATION PROJECT Funded by Foundation For Civil Society which will be conducted in 5 different locations within Njombe Town council and mainly based on village level, and those who will participate on the training will include village leaders, teachers,students,religious leaders,village elders,e.t.c. Those wards which will benefit on the trainings are Luponde, Iwungilo, Yakobi, Uwemba and Kifanya.