Envaya

tukiwa na mngeni wetu kutoka mwanza akiwa katika ofisi ya mkulungezi akiwa mmoja wa watu watu wa kujitolea katika kituo cha hope. tuna shukulu  sana kupata mngeni siku ya leo jumamosi  bwana jemes alipata nafasi  ya kuongea na watoto na kushare  vitu mbalimbali kwa watoto zikiwemo nyimbo na michezo mbalimbali. tunawakalibisha sana kututembelea na kutupa matumaini katika huduma ya mtoto. tuwajali watoto kuwapatia elimu iliyo bora zaindi.

February 19, 2017
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.