Envaya

watoto wakiwa  kwenye mudaharo siku ya jumamosi wakijalidili kuhusu maisha ya kielimu na maisha yasio na Elimu niikweli ilikuwa kazi ngumu maana watoto walikuwa wachangamufu walichuana maada ilikuwa nzuri yakuwajenga watoto kielimu. nizahili kuwa Elimu ni mwanga wa maisha kwa watoto. washindia waliopatika kwenye debate hii ni wasijana.

 

February 1, 2017
« Previous Next »

Comments (2)

Kwilo Malongo (Bukumbi ) said:
Hongera Sana wasichana na wakiwezeshwa wanaweza kwanza wajikubari wenyewe na wafanye maamuzi yaliyo sahihi
February 1, 2017
shija clement kinyata said:
Nikweli nasi tunasema tutakuwa msitari wa mbele kuhakikisha tunaendelea kupingania hazi za watoto.
February 1, 2017

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.