Envaya

tunategemea kuanzisha vitalu vya miti vijiji ngarenanyukie na ngwandua na ilkurot mwaka2014.    vitalu vya miti tutakavyo anzisha  itakuwa na miti ambayo inafaa kuotesha kwenye vyanzo vya maji kwani vyanzo vingi vya maji vinaanzia mlima meru

May 7, 2013
« Previous

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.