Fungua
Environment and Health Tanzania
Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

large.jpg

Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili juu ya uchambuzi wa madhara yatokanayo na mabadiriko ya tabia nchi,mafunzo hayo ni moja ya utekelezaji wa mradi unaotekelezwa na Environment and Health Tanzania-EHETA chini ya ufadhiri wa The Foundation for Civil Society.Mafunzo hayo yalifanyika januari 13 na 14 katika kata ya Matongo,wilayani Mkalama.

13 Februari, 2015
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.