Jumaa Dhahabu akiwa katika maeneo ya Kibanda katika Kitongoji cha Ndolwa kata ya Vuga
Jumaa Dhahabu na Mzee Athumani Shengovi wakiwa katika milima ya Kiunguni ilioko katika kijiji cha Kiluwai Mankole
Kijiji cha Kiluwai katika Kata ya Vuga Jimbo la Bumbuli Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga
Shehe wa Kata ya Vuga jimbo la Bumbuli akiwa katika eneo la mkutano kwa kusubili kuingia katika mkutano huo
baadhi ya washiriki wakishuka katika gari wakiwa tayari kuelekea ukumbi wa Mkutano
Mzee yusuphu Makamba akiwa na baadhi ya washiriki wakibadilishana mawazo
Mzee yusuphu makamba akiwa na mkewe wakiwa katika mkutano wa wakazi wa jimbo la Bumbuli waishio Dar na Pwani juu kujadiliana maendeleo ya jimbo lao
Mzee yusuphu makamba akiwa na mkewe wakiwa katika mkutano wa wakazi wa jimbo la Bumbuli waishio Dar na Pwani juu kujadiliana maendeleo ya jimbo lao
Mratibu wa Chama cha maendeleo ya kiuchumi na Kijamii vuga (CHAMAKIVU) Jumaa Dhahabu akiwa na shehe wa Kata ya Vuga Jimbo la Bumbuli wakiwa eneo la Mkutano